✓Alovera ni mmea unaojulikana kama mmea mama na mmea TIBA wa magonjwa yote.
✓Nzuri kutumiwa na wasiotumia mboga za majani mara Kwa mara .
✓Inawasaidia sana wanaosumbuliwa na matatizo sugu ya Ngozi kama chunusi ,vipele,Muwasho,Ngozi kuwa kavu sana.
✓Ni nzuri Kwa kupunguza kiwango Cha sumu katika Ngozi na kufanya Ngozi kuwa na muonekano mzuri na nyororo wakati wote.