Lishe ya Folic acid inatokana na mimea ya asili Alfalfa na Green algae.kwa pamoja LISHE hii inaundwa na madini kama Folic Acid ,Iron ,na calcium na inayeyuka haraka mwilini.
✓Nzuri kutumiwa na wasiotumia mboga za majani mara Kwa mara.
✓Inawasaidia sana akina mama Wajawazito,wanaonyonuesha na wanaotegemea kupata ujauzito.
✓Wanaosumbuliwa na homa mara Kwa mara na maradhi ya viganja na miguu ,kushikwa na ganzi na baridi Kali.
✓Ni nzuri Kwa wale wanaochokachoka haraka na mwili kukosa nguvu.
✓ Wanaosumbuliwa na maumivu ya kichwa ,kizunguzungu na kupoteza kumbukumbu Kwa kiasi kikubwa na uwezo mdogo (hasa wanafunzi ) kiakili.