Lishe hii inatokana na Unga wa algue usiochanganywa na Wanga .Inayeyuka haraka mwilini(Up to 95%).Ni lishe yenye madini mengi na muhimu zaidi katika mwili.Husaidia kuondoa taka mwilini na kusafisha mfumo wa chakula kama tumbo na utumbo.
✓kwa watu wasio na kinga ya kutosha,Wazee na wahanga wa ajali kusaidia kuponyesha majeraha kwa Urahisi.
✓Inawasaidia wanaofanya kazi ngumu na za kutumia nguvu nyingi.
✓Wanaosumbuliwa na tatizo la msukumo wa damu Kwa kipindi kirefu.
✓Wenye ukosefu wa LISHE Bora ,wenye matatizo na mfumo wa uyeyushaji wa chakula na wanaosumbuliwa na homa ya ini na maumivu ya viungo mara Kwa mara.