Ni lishe inayotokana na asali ya nyuki wadogo weusi yenye Virutubisho zaidi ya 120 vya Flavonoids,na kisaidia kuponya mifumo ya mawili iliyo haribiwa na maradhi Kwa kuchochea mfumo wa kinga ya mwili.
✓Ni nzuri sana Kwa wagonjwa wa kisukari, pia wenye upungufu wa kinga mwilini.
✓Inasaidia kuipa ngozi kinga ili isiharibike kutokana na mabakabaka,mikunjoo na makunyanzi.
✓Ni nzuri Kwa wanawake wenye mfumo mbaya wa Homoni.
✓Inasaidia kuyeyusha aina mbalimbali za vimbe mfano,katika kibofu Cha mkojo,koo,Ngozi, pia Uvimbe katika mfumo wa Uzazi, hewa na mfumo wa Chakula( note)
✓Inasaidia sana wagonjwa wenye matatizo na vidonda vya Tumbo, homa ya INI,Utumbo na kongosho.